Saturday, April 25, 2020

SERIKALI YATENGA BILIONI MOJA KUJENGA WODI HOSPITALI ZA WILAYA, UNUNUZI VIFAA TIBA


Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi. Joseph Nyamuhanga amesema Serikali katika Bajeti ya mwaka 2020/2021 Serikali imetenga kiasi cha shilingi bilioni moja kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba na ujenzi wa wodi tatu katika kila Hospitali ya Wilaya kwenye Hospitali 67 za Wilaya zilizojengwa hapa nchini.
Mhandisi Nyamhanga ameyasema hayo wakati alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya Bariadi iliyopo kata ya Dutwa ambapo ameoneshwa kuridhishwa na kazi ya ujenzi inayoendelea.
Aidha, Nyamhanga ameziagiza Halmashauri 30 nchini zilizohamia katika maeneo mapya kiutawala pamoja na mikoa mipya kuanza maandalizi ya mchakato wa manunuzi kwa ajili ya ujenzi wa Majengo ya Utawala ili kufikia Desemba 31, 2020 Halmashauri hizo na mikoa mipya ziwe zimekamilisha ujenzi wa Majengo ya utawala.

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga(kushoto) akikagua maendeleo ya ujenzi wa hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi iliyopo kata ya Dutwa wakati wa ziara yake Aprili 23, 2020 mkoani Simiyu.

 Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga akizungumza na viongozi wa Wilaya ya Bariadi na Mkoa wa Simiyu(hawapo pichani mara baada ya kutembelea hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi iliyopo kata ya Dutwa wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu Aprili 23, 2020.

 Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga(kushoto) akikagua maendeleo ya ujenzi wa hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi iliyopo kata ya Dutwa wakati wa ziara yake Aprili 23, 2020 mkoani Simiyu.

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga(mwenye suti nyeusi kulia) akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka (kushoto) wakati akikagua hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi iliyopo kata ya Dutwa wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu Aprili 23, 2020.

 Baadhi ya majengo katika Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi 

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga akiwa na  viongozi wa Wilaya ya Bariadi na Mkoa wa Simiyu alipotembelea  hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi iliyopo kata ya Dutwa wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu Aprili 23, 2020. 

Meneja wa TARURA Halmashauri  ya Mji wa Bariadi, Mhandisi. Mathias Mugolozi akitoa taarifa ya Ujenzi wa Kituo cha Mabasi cha Kisasa cha Mjini Bariadi kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga(kulia), alipotembelea kituo hicho wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu Aprili 23, 2020. 

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga  (kulia)  akipokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Utawala la Halmashauri ya Mji wa Bariadi katika eneo la Nyaumata  wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu Aprili 23, 2020. 

Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini akitoa maelezo ya ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga  katika eneo la Nyaumata  wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu Aprili 23, 2020. 

Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini akitoa maelezo ya ujenzi wa Kituo cha Mabasi cha Kisasa cha Mjini Bariadi kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga  wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu Aprili 23, 2020. 
 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi, Bw. Melkizedeck Humbe  akitoa taarifa ya mtanadao wa barabara za lami za mjini Bariadi kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga  wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu Aprili 23, 2020.

 Sehemu ya mtandao wa bara bara za lami katika Mji wa Bariadi.

 Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga  (kulia)  akiwa na  viongozi wa Wilaya ya Bariadi na Mkoa wa Simiyu alipotembelea  hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi iliyopo kata ya Dutwa wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu Aprili 23, 2020. 


Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini akitoa maelezo ya ujenzi wa Kituo cha Mabasi cha Kisasa cha Mjini Bariadi kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga  wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu Aprili 23, 2020.
 Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga  (wa  pili kulia) akikagua ujenzi wa kituoa cha mabasi Bariadi  akiwa na  viongozi wengine wa Wilaya ya Bariadi na Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu Aprili 23, 2020.

 Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga  (wa tatu kushoto)  na viongozi wa wengine wa Mkoa wa Simiyu wakiondoka eneo la Nyaumata baada ya kupokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu katika eneo la Nyaumata  wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu Aprili 23, 2020.


Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony  Mtaka akizungumza jambo mara tu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga  (wa tatu kushoto)  alipowasili ofisi kwake mjini Bariadi kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku moja Aprili 23, 2020. 

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga akiwa na  viongozi wa Wilaya ya Bariadi na Mkoa wa Simiyu alipotembelea  hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi iliyopo kata ya Dutwa wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu Aprili 23, 2020. 

Mratibu wa TARURA Mkoa, Dkt. Eng. Philimon Msomba (kushoto) akitoa taarifa juu ya ujenzi wa Megesho ya malori ya mji wa Bariadi kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga akiwa na  viongozi wa Wilaya ya Bariadi na Mkoa wa Simiyu alipotembelea  hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi iliyopo kata ya Dutwa wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu Aprili 23, 2020. 


Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga(mwenye suti nyeusi kushoto) akikagua maendeleo ya ujenzi wa hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi iliyopo kata ya Dutwa wakati wa ziara yake Aprili 23, 2020 mkoani Simiyu.

0 comments:

Post a Comment

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!