Wito huo umetolewa leo na Mhe.Dkt.Festo Dungage NaibuWaziri Ofisi ya Rais Tawala za
Mikoa na Serilkali za Mitaa (TAMISEMI-AFYA), mara baada ya
kupokea taarifa ya utekelezaji
wa mpango wa maendeleo kwa ustawi wa taifa na mapambano dhidi ya uviko 19 Mkoa
wa Simiyu.
Mhe.Dugange,amepongeza Sekretarieti...
Thursday, November 25, 2021
Thursday, November 25, 2021
HALMASHAURI ZOTE IGENI MKOA WA SIMIYU-NAIBU WAZIRI (AFYA) TAMISEMI
Wednesday, November 24, 2021
Wednesday, November 24, 2021
Wilaya ya Bariadi, Yapongezwa kwa Kupata Leseni ya Kuchimba Madini
Washiriki wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Mkoa wakati wa kikaoMkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.David Kafulila akizungumza na Washiriki wa kikao cha kuwapongeza Wanabariadi kwa kupata leseni ya Kuchimba MadiniWashiriki wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Mkoa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. David Kafulila amempongeza...
Wednesday, November 24, 2021
RC. Kafulila - Ampongeza Mmiliki wa Kiwanda cha Kuchambua na Kusafisha dhahabu - ELIFRA INVESTMENT LIMITED.
Mhe.Kafulila,amempongeza mjasiliamali Frank Malima, ambaye ndiye mmiliki
wa kiwanda cha kuchambua na kusafisha dhahabu cha ELIFRA
INVESTMENT LIMITED.
Pongezi hizo zilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu akiwa
ameambatana na Viongozi wengine wa Mkoa mara alipotembelea kiwanda cha kuchambua na kusafisha...
Tuesday, November 23, 2021
Tuesday, November 23, 2021
RC. Kafulila Aridhishwa na Ujenzi wa Madarasa ya Uviko-19 - Wilayani Bariadi
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.David Kafulila amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mhe. Lupakisyo Kapange, Mkurugenzi wa Bariadi Bw.Khalid Mwalami na timu yake pamoja na viongozi wa shule alizozikagua kwa usimamizi mahiri. Mhe Kafulila alitoa pongezi hizo wakati wa ziara ya kukagua maendeleo...
Sunday, November 21, 2021
Sunday, November 21, 2021
"Bodi Ya Pamba, AMCOS, SIMCU Saidieni Wakulima Wa Pamba"-RC- Kafulila
Taasisi nyingi ambazo
zimekuwa zikipata fedha kupitia ushuru wa Pamba, zimeshindwa kuwasadia wakulima
na badala yake wanaonufaika ni viongozi kupitia fedha zinazotokana na Pamba ya
wakulima. Hali hii imepelekea
wakulima wengi nchini wakiwemo wanaozalisha Pamba, kuchukia ushirika licha ya
kulazimishwa...
Saturday, November 20, 2021
Saturday, November 20, 2021
"Tokeni Maofisini Nendeni Site Mkaangalie Hali ya Ujenzi" - RC. KAFULILA
Mkuu wa Mkoa Wa Simiyu Mhe. David Kafulila akitembelea Miradi ya Ujenzi wa Shule za Miradi ya Uviko-19Mkuu wa Mkoa Mhe. Kafulila akikagua kiasi cha Zege Mkuu wa Mkoa Akitoa maelekezo kwa Mkuu wa Wilaya Itilima Mhe. Faiza SuleimanMkuu wa Mkoa akiwa ameambataka na viongozi mbalimbali wakikagua miradi...
Thursday, November 18, 2021
Thursday, November 18, 2021
UZINDUZI WA UGAWAJI PIKIPIKI KITAIFA KWA MAAFISA UGANI KATIKA MIKOA INAYOZALISHA MAZAO KIMKAKATI, WAFANYIKA MKOANI SIMIYU.
Akizungumza,Mkurugenzi mkuu Bodi ya Pamba, Bw. Marco Mtunga alitoa shukrani kwa Waziri wa kilimo Mhe. Adolf Mkenda kwa kukubali kuhudhuria zoezi la ugawaji wa pikipiki. Pongezi kwa mkoa wa Simiyu kwa kuzalisha zaidi ya asilimia 61 ya pamba yote nchini msimu huu wa kilimo.Tatizo la msingi katika...