Uongozi wa Mkoa wa Simiyu umefunga kambi ya
Kitaaluma kwa wanafunzi wa kidato cha Sita iliyokuwa ikifanyika katika Shule ya
Sekondari ya Wasichana Maswa , ikiwa ni sehemu ya tahadhari dhidi ya Homa kali
ya Mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona.
Akifunga kambi hiyo, Katibu Tawala wa Mkoa wa...
Tuesday, March 17, 2020
Tuesday, March 17, 2020
SIMIYU YAFUNGA KAMBI YA KITAALUMA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA
Wednesday, March 11, 2020
Wednesday, March 11, 2020
UNUNUZI MAZAO MCHANGANYIKO KUPITIA AMCOS UTAWAKOMBOA WAKULIMA: DC BARIADI
Mkuu wa wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo Kiswaga
amesema mfumo wa ununuzi wa mazao
mchanganyiko kupitia vyama vya msingi vya Ushirika ( AMCOS) utakaoanza
kutekelezwa mwaka huu 2020 umelenga kuwakomboa wakulima na kuwawezesha kupata soko la uhakika lenye ushindani pamoja na kuwaondoa...
Monday, March 9, 2020
Monday, March 09, 2020
MAKAMU WA RAIS AONGOZA KILELE MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KITAIFA MKOANI SIMIY
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaongoza wananchi
katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniania ambayo yamefanyika Kitaifa katika
Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu.
Maadhimisho haya yenye
Kauli Mbiu “Kizazi cha Usawa Kwa Maendeleo...
Monday, March 09, 2020
MAPATO YATAKAYOTOKANA NA STENDI BARIADI YAKAFANYE KAZI ZA WANANCHI: MAKAMU WA RAIS

Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema
wafanyabiashara watakaopangishwa katika jengo la Stendi ya Kisasa ya Mji wa
Bariadi inayojengwa sasa pale itakapokamilika, wahakikishe wanalipa kodi na
mapato hayo yatumike katika shughuli za maendeleo ya wananchi...
Monday, March 09, 2020
MAKAMU WA RAIS AAGIZA TTCL KUPELEKA MKONGO WA TAIFA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA SIMIYU

Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan ameagiza
Shirika la Mawasiliano nchini TTCL kufikisha mkongo wa Taifa katika Hospitali
ya Rufaa ya Mkoa wa Simiyu ili vifaa vinavyotumika kutoa huduma vinavyowezeshwa
na Mtandao wa Intanenti viweze kufanya kazi yake sawa.
Mhe....
Monday, March 09, 2020
MAKAMU WA RAIS AWATAKA WANANCHI KUKILINDA CHUO CHA IFM SIMIYU
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa wananchi wa
Kijiji cha Sapiwi wilayani Bariadi kuwa walinzi wa Tawi jipya la Kanda ya Ziwa
la Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) linalojengwa katika eneo hilo.
Mhe. Makamu wa Rais
ametoa rai hiyo Machi 06, 2020 wakati...
Monday, March 09, 2020
MAKAMU WA RAIS AWAONYA WANANCHI WASITUNZE FEDHA MAJUMBANI
Makamu wa Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa
wananchi wa Wilayani ya Busega kutokaa na fedha majumbani badala yake watumie
Taasisi za kifedha kutunza fedha zao kwa ustawi wa maisha yao na Usalama wa
Fedha zao.
Mhe. Makamu wa Rais ametoa wito huo wakati
akifungua...
Monday, March 09, 2020
WAZIRI WA AFYA AZITAKA HALMASHAURI KUTENGA ASILIMIA 10 YA VIKUNDI
Kuelekea
Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Kitaifa amabyo yatafanyika Bariadi
Mkoani Simiyu, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,
Mhe.Ummy Mwalimu amezitaka Halmashauri zote ambazo hazijatenga asilimia kumi ya
mapato ya ndani ambayo ni fedha kwa ajili Wanawake, vijana...
Monday, March 09, 2020
BASHEAZINDUA MKAKATI WA MAPINDUZI YA KILIMO SIMIYU
Naibu Waziri
wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe amezindua Mkakati wa Mapinduzi ya Kilimo cha
Pamba wa miaka mitano (2019-2024) Mkoa wa Simiyu na kuwahimiza wakulima wote
kufungua akaunti za benki kwa kuwa katika msimu ujao Wakulima watalipwa fedha
zao kupitia mfumo wa benki ili kudhibiti matumizi mabaya...
Monday, March 2, 2020
Monday, March 02, 2020
MAKAMU WA RAIS MGENI RASMI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KITAIFA MKOANI SIMIYU

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia
Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Kilele cha Maadhimisho ya
Siku ya Wanawake Duniani ambayo Kitaifa yatafanyika katika Uwanja wa
Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu.
Akizungumza na Waandishi wa Habari ofisini...