Monday, March 9, 2020

MAKAMU WA RAIS AWATAKA WANANCHI KUKILINDA CHUO CHA IFM SIMIYU


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa wananchi wa Kijiji cha Sapiwi wilayani Bariadi kuwa walinzi wa Tawi jipya la Kanda ya Ziwa la Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) linalojengwa katika eneo hilo.
Mhe. Makamu wa Rais ametoa rai hiyo Machi 06, 2020 wakati alipozungumza na wananchi wa Kata ya Sapiwi Machi 06, 2020 mara baada ya kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Tawi jipya la Chuo hicho.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na viongozi wengine wakishangilia mara baada ya kuweka jiwe la msingi Ujenzi wa  wa Tawi jipya la Chuo cha Usimamizi wa Fedha IFM, Machi 06, 2020.

0 comments:

Post a Comment

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!