Saturday, November 28, 2020

WANANCHI SIMIYU WATAKIWA KUSHIRIKI MICHEZO KUIMARISHA AFYA

 Mkuu wa Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, Mhe. Benson Kilangi ametoa wito kwa wananchi na viongozi mkoani hapa kuona umuhimu wa kushiriki michezo kwa ajili ya kuimarisha afya.  Kilangi ameyasema hayo Novemba 28, 2020 katika Tamasha la Simiyu Jambo Festival lililofanyika katika Uwanja wa Halmashauri...

Thursday, November 26, 2020

ZAIDI YA WATU 300 KUSHIRIKI MASHINDANO YA BAISKELI, MBIO FUPI NA NGOMA ZA ASILI SIMIYU

 Zaidi ya wanamichezo 300 kutoka mikoa mbalimbali hapa nchini wanatarajia kushiriki Tamasha la Simiyu Jambo Festival ambalo litahusisha mashindano ya mbio za baiskeli, ngoma za asili(wagika na wagalu), mbio fupi (kilometa kumi) pamoja na mashindano ya kitaaluma kwa wanafunzi wa shule za sekondari.  Hayo...

Wednesday, November 25, 2020

VIJANA 664 MKOANI SIMIYU KUNUFAIKA NA AJIRA ZA MUDA MSIMU MPYA WA KILIMO

Takribani vijana 664 mkoani Simiyu wanatarajia kunufaika  na ajira za muda katika msimu huu  ,baada ya  kupata mafunzo ya  matumizi sahihi  ya viuatilifu kwa ajili ya kukabiliana na wadudu wasumbufu wa zao la Pamba. Hayo yamebainishwa jana Novemba 24, 2020 wakati wa...

Tuesday, November 24, 2020

SERIKALI YAWAHAKIKISHIA WACHIMBAJI WADOGO WA DHAHABU BARIADI KUPEWA LESENI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Prof. Simon Msanjila amewahakikishia wachimbaji wadogo katika mgodi wa dhahabu wa Bulumbaka uliopo katika kijijj cha Gasuma wilayani Bariadi mkoani hapa kuwa watapata leseni za uchimbaji na kusisitiza kuwa kamwe hawataondolewa katika mgodi huo.  Prof. Msanjila...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!