Mkuu wa Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, Mhe. Benson Kilangi
ametoa wito kwa wananchi na viongozi mkoani hapa kuona umuhimu wa kushiriki
michezo kwa ajili ya kuimarisha afya.
Kilangi ameyasema hayo Novemba 28, 2020 katika Tamasha la Simiyu
Jambo Festival lililofanyika katika Uwanja wa Halmashauri...
Saturday, November 28, 2020
Saturday, November 28, 2020
WANANCHI SIMIYU WATAKIWA KUSHIRIKI MICHEZO KUIMARISHA AFYA
Thursday, November 26, 2020
Thursday, November 26, 2020
ZAIDI YA WATU 300 KUSHIRIKI MASHINDANO YA BAISKELI, MBIO FUPI NA NGOMA ZA ASILI SIMIYU
Zaidi ya wanamichezo 300 kutoka mikoa mbalimbali hapa
nchini wanatarajia kushiriki Tamasha la Simiyu Jambo Festival ambalo
litahusisha mashindano ya mbio za baiskeli, ngoma za asili(wagika na wagalu), mbio
fupi (kilometa kumi) pamoja na mashindano ya kitaaluma kwa wanafunzi wa shule
za sekondari.
Hayo...
Wednesday, November 25, 2020
Wednesday, November 25, 2020
VIJANA 664 MKOANI SIMIYU KUNUFAIKA NA AJIRA ZA MUDA MSIMU MPYA WA KILIMO
Takribani
vijana 664 mkoani Simiyu wanatarajia kunufaika
na ajira za muda katika msimu huu
,baada ya kupata mafunzo ya matumizi sahihi ya
viuatilifu kwa ajili ya kukabiliana na wadudu wasumbufu wa zao la Pamba. Hayo
yamebainishwa jana Novemba 24, 2020 wakati wa...
Tuesday, November 24, 2020
Tuesday, November 24, 2020
SERIKALI YAWAHAKIKISHIA WACHIMBAJI WADOGO WA DHAHABU BARIADI KUPEWA LESENI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Prof. Simon Msanjila
amewahakikishia wachimbaji wadogo katika mgodi wa dhahabu wa Bulumbaka uliopo
katika kijijj cha Gasuma wilayani Bariadi mkoani hapa kuwa watapata leseni za
uchimbaji na kusisitiza kuwa kamwe hawataondolewa katika mgodi huo.
Prof. Msanjila...