Tuesday, March 26, 2019

IFM KUJENGA TAWI JIPYA SIMIYU

Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kinatarajia kujenga Tawi jipya katika Kata ya Sapiwi Tarafa ya Dutwa wilayani Bariadi Mkoani Simiyu. Viongozi wa chuo hicho wakiongozwa na Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Prof. Tadeo Andrew Satta wametembelea eneo hilo leo Machi 26, 2019 na baadaye kufanya mazungumzo...

SIMIYU YAKISIWA KUTUMIA SHILINGI 175,260,331 KATIKA BAJETI YA MWAKA 2019/2020

Sekretarieti ya Mkoa  na Mamlaka za Serikali za Mitaa Mkoani Simiyu zimekisia kutumia jumla ya shilingi 175,260,331/=  kwa ajili ya miradi ya maendeleo, mishahara na matumizi mengineyo. Hayo yamesemwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini  Machi 15, 2019  wakati...

Saturday, March 16, 2019

DARAJA LA SIBITI KUKAMILIKA MACHI 24 MWAKA HUU

Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Simiyu, Mhandisi. Albert Kent amesema Ujenzi wa Daraja la Mto Sibiti linalounganisha Mikoa ya Simiyu na Singida unatarajiwa kukamilika kwa awamu ya kwanza na magari kuanza kupita ifikapo Machi 24, mwaka huu. Kent ameyasema hayo jana Machi 14, 2019...

RAS SIMIYU AWATAKA WATUMISHI SIMIYU KUWA MABALOZI WEMA WA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA

Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini amewataka watumishi wa Umma mkoani humo kuwa mabalozi wema wa maadili ya utumishi wa umma katika maeneo ya kazi ikiwa ni pamoja na kutopokea zawadi kwa wananchi wanaowahudumia kwa kuwa wanalipwa mshahara na Serikali kwa kazi hizo. Sagini ameyasema...

Friday, March 15, 2019

ASILIMIA 80 YA WANANCHI SIMIYU KUTUMIA BIMA YA AFYA

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amesema mkoa huo umejiwekea malengo ya kuhakikisha zaidi ya asilimia 80 ya wananchi wake kuwa na kadi za bima ya afya ili kujihakikishia upatikanaji wa  huduma za matibabu katika vituo vya kutolea huduma za afya hapa nchini. . Mtaka ameyasema hayo...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!