Friday, May 31, 2019

RC MTAKA AWAHAKIKISHIA USHIRIKIANO WA SERIKALI WAUMINI, VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amewahakikishia waumini na viongozi wa madhehebu ya dini mkoani hapa kuwa viongozi wa serikali wako pamoja nao na wataendelea kushirikiana na kila watakapo wahitaji . Mtaka ameyasema hayo jana Mei 30, 2019 katika futari aliyoiandaa kwa waumini na viongozi...

Wednesday, May 29, 2019

MWENGE WA UHURU WAHITIMISHA MBIO ZAKE MKOANI SIMIYU ASILIMIA 97 YA MIRADI YAKUBALIWA

Mwenge wa Uhuru umemaliza mbio zake leo Mkoani Simiyu na kukabidhiwa katika Mkoa wa Mara, ambapo miradi 33 kati 34 sawa na asilimia 97 ya miradi iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru katika Halmashauri zote sita imekubaliwa na kuzinduliwa, kukaguliwa, kuonwa na kuwekewa mawe ya msingi. Akitoa taarifa kabla...

WANANCHI 17,084 KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA VIPIMO IGALUKILO BUSEGA

Jumla ya Wananchi 17,084 wa kata ya Igalukilo na Vijiji jirani wilayani Busega wanatarajia kunufaika na huduma za vipimo mbalimbali vya afya na kupunguza umbali wa kupata huduma hiyo mara baada ya kukamilika kwa Jengo la Maabara linalojengwa katika Kituo cha Afya cha Igalukilo Hayo yamebainishwa...

WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KUWAJENGEA DARAJA BARIADI

Wananchi wa Vijiji vya Ikinabushu na Isuyu wilayani Bariadi wameishukuru Serikali kwa kuwajengea daraja ambalo limerahisisha mawasiliano na usafirishaji wa abiria, mazao na mizigo kutoka Ikinabushu-Isuyu-Dutwa-Bariadi na Lamadi. Shukrani hizo zimetolewa mara baada ya Kiongozi wa Mbio za Mwenge...

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWAKA 2019 AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE YA DKT. BALELE MAJAHIDA

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2019,  Ndg. Mzee Mkongea Ali akiweka jiwe la msingi katika Madarasa sita ya Shule ya Sekondari tarajiwa ya Dkt. Yohana Balele iliyopo Majahida Mjini Bariadi,wakati wa mbio za mwenge wa uhuru mjini Bariadi Mei 25, 2019. Kiongozi wa Mbio za Mwenge...

WANANCHI ZAIDI YA 300,000 KUNUFAIKA NA UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA

Jumla ya wakazi 346,365 wa Wilaya ya Itilima na maeneo ya jirani wanatarajia kunufaika na ujenzi wa mradi wa hospitali ya Wilaya ya Itilima inayotarajiwa kukamilika Juni 30 mwaka 2019. Mradi huo wenye lengo la kuimarisha upatikanaji wa huduma za afya na kusogeza karibu huduma hiyo kwa wananchi...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!