Friday, July 31, 2020

CRDB YAKABIDHI HUNDI YA SHILINGI MILIONI 60 UDHAMINI WA NANENANE KITAIFA 2020 SIMIYU

Benki ya CRDB imekabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni 60 kama mchango wa udhamini wa Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2020 yanayofanyika katika  Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu, Kanda ya Ziwa Mshariki inayoundwa na mikoa ya Simiyu, Mara na Shinyanga kuanzia 01 Agosti, 2020 mpaka 08...

Thursday, July 30, 2020

NMB YATOA MILIONI 42.5 KUCHANGIA MAONESHO YA NANENANE SIMIYU

Benki ya NMB imetoa shilingi milioni 42.5 kwa ajili ya kudhamini Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2020 yatakayofanyika katika kanda ya Ziwa Mashariki  Viwanja vya Nyakabindi Bariadi mkoani Simiyu kuanzia Agosti 01 hadi Agosti 08, 2020. Akikabidhi mfano wa hundi ya fedha hizo Julai...

Wednesday, July 29, 2020

RC MALIMA: TUNAWAKARIBISHA WANANCHI KUJIONEA NANENANE KITAIFA 2020 YA KIWANGO

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mhe. Adam Kighoma Malima ametoa wito wananchi wa mikoa ya Simiyu, Mara, Shinyanga na maeneo mengine nchini kafika katika maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2020 yatakayofanyika Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Mkoani Simiyu katika Kanda ya Ziwa Mashariki inayoundwa na mikoa ya...

Tuesday, July 28, 2020

RC MALIMA: TUNAWAKARIBISHA WANANCHI KUJIONEA NANENANE KITAIFA 2020 YA KIWANGO

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mhe. Adam Kighoma Malima ametoa wito wananchi wa mikoa ya Simiyu, Mara, Shinyanga na maeneo mengine nchini kafika katika maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2020 yatakayofanyika Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Mkoani Simiyu katika Kanda ya Ziwa Mashariki inayoundwa na mikoa ya...

Wednesday, July 22, 2020

TACAIDS YAKABIDHI MASANDUKU 10 YA KUCHANGIA FEDHA ZA KUBORESHA HUDUMA ZA VVU NA UKIMWI SIMIYU

Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI imekabidhi masanduku 10 kutoka Mfuko wa Udhamini wa Kudhibiti Ukimwi kwa Mkoa wa Simiyu ili yatumike kwa ajili ya kuhamasisha uchangiaji wa fedha kwa ajili ya kuboresha huduma za VVU na UKIMWI. Akikabidhi masanduku hayo Mkurugenzi wa TACAIDS Dkt. Leonard Maboko...

Sunday, July 19, 2020

SIMIYU YAJIPANGA KUONGEZA UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA UGANI KUONGEZA TIJA KWENYE UZALISHAJI WA PAMBA

Katika kutekeleza mpango Mkakati wa Mapinduzi ya Kilimo cha Pamba wa miaka mitano (2019-2024) wa Mkoa wa Simiyu, mkoa unakusudia kuongeza hali ya upatikanaji wa huduma za ugani kwa lengo la kuongeza tija katika uzalishaji kutoka kilo 175 kufikia kilo 600 kwa ekari ifikapo mwaka 2024. Hayo yamebainishwa...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!