Sunday, April 28, 2019

RC MTAKA: KAMBI ZA KITAALUMA SIMIYU ZITAKUWA ENDELEVU

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amesema Kambi za Kitaaluma mkoani Simiyu kwa wanafunzi wa darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha Sita, ambayo ni madarasa yanayofanya Mitihani ya Taifa ya kuhitimu elimu ya Msingi na Sekondari zitakuwa endelevu. Mtaka amesema hayo Aprili 28, 2019...

Friday, April 26, 2019

KATIBU MTENDAJI NECTA AWAASA KIDATO CHA SITA KUTOJIHUSHA NA UDANGANYIFU MTIHANI WA TAIFA

Katibu MTENDAJI wa Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA) amewataka wanafunzi wa kidato cha sita nchini, wanaotarajia kufanya mtihani wao wa mwisho mapema mwezi Mei, 2019 kuepuka aina yoyote ya udanganyifu kwenye mtihani huo. Dkt. Msonde ameyasema hayo wakati akiongea na wanafunzi wa kidato...

RAS SIMIYU AWATAKA WAGANGA WAKUU, MAAFISA LISHE KUWASILISHA MPANGO KAZI WA LISHE

Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini amewaagiza Maafisa Lishe na waganga wakuu wa wilaya mkoani hapa kufikia mwisho wa mwezi huu wa Aprili 2019, wawasilishe mpango kazi wa lishe unaoainisha lishe inayoweza kuandaliwa kwa kutumia vyakula vinavyopatikana katika mazingira ya mkoa huu, ili...

Sunday, April 21, 2019

WAZIRI KAIRUKI ATOA WITO KWA WAWEKEZAJI WAZAWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI ZILIZOPO NCHINI NA KUSAJILI MIRADI YA UWEKEZAJI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji, Mhe.  Angela Kairuki ametoa wito kwa chama cha wanataaluma na wajasiriamali wa Kanisa la Waadventista Wasabato  Tanzania (ATAPE) na wawekezaji wengine wazawa kuchangamkia fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo nchini na kusajili...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!