Wednesday, April 10, 2019

WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI YATOA VIFARANGA ZAIDI YA 7000 KWA WANANCHI MWAMAPLALA ITILIMA


Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia idara ya ukuzaji viumbe majini  imetoa vifanga vya samaki aina ya sato zaidi ya 7000 kwa wananchi wa Kata ya Mwamapalala yenye vijiji vitano wilayani Itilima, ili kupandikiza katika Bwawa la Mwamapalala, ili kuwapatia kipato na lishe bora.


Baadhi ya wananchi wa Mwamapalala na Afisa Uvuvi kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Juma Kazula wakipandikiza samaki atika Bwawa la Mwamapalala

0 comments:

Post a Comment

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!