Thursday, May 31, 2018

SIMIYU YAJIPANGA KUIIMARISHA SHULE YA SEKONDARI BARIADI KAMA SHULE MAALUM YA MICHEZO

Serikali mkoani Simiyu imesema imekusudia kuiimarisha shule ya Sekondari ya Bariadi ambayo ilitengwa kuwa Shule ya Michezo, kwa kujenga mabweni ya wanafunzi wa kike na wa kiume na kuiwekea miundombinu yote muhimu,  ikiwemo viwanja vya michezo yote kwa lengo la kuibua na kukuza vipaji vya wanafunzi. Hayo...

MASWA WARIDHIA KAYA KUCHANGIA SHILINGI ELFU 50 KWA MWAKA KWA AJILI YA MAENDELEO

Viongozi wa wananchi, wenyeviti wa vitongoji na vijiji 120 vya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu wameridhia mchango wa shilingi elfu hamsini kila kaya kwa ajili ya shughuli za maendeleo ambao utatolewa kwa mwaka, ambapo baada ya kaya kutoa mchango huo hazitachangia mchango mwingine wowote. Hayo wameyasema...

Saturday, May 26, 2018

KAMATI NA BODI ZA SHULE ZATAKIWA KUJIUZULU SHULE ZINAPOFANYA VIBAYA KWENYE MITIHANI

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka amesema wakati umefika kwa kamati na bodi za Shule mkoani humo kujitathmini ikiwa zinafaa kuendelea na majukumu yao au kujiuzulu pale Shule zao zinapofanya vibaya katika mitihani  hususani ya Taifa. Mtaka ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na Wenyeviti...

RC MTAKA:TUTAWALINDA NA KUWATUNZA WANAFUNZI KIDATO CHA NNE, DARASA LA SABA WATAKAOKAA KAMBI ZA KITAALUMA MWEZI JUNI

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, mhe.Anthony Mtaka amewahakikishia wazazi wote mkoani humo kuwa Serikali itawalinda na kuwatunza watoto wote kwa muda wa siku zote watakaokuwa katika Kambi za Kitaaluma kwa Kidato cha Nne na Darasa la Saba, ambazo zinazotarajiwa kuanza rasmi mapema mwezi Juni mwaka huu kwa mkoa...

CHUO CHA MIPANGO WASHUKURU UONGOZI MKOA WA SIMIYU KWA KUWAPA ENEO LA KUJENGA TAWI LAO MJINI BARIADI

Baraza la Uongozi wa Chuo cha Mipango Dodoma limeushukuru , uongozi wa Mkoa wa Simiyu kwa kukubali kutoa eneo la ekari 50 bure kwa ajili ya ujenzi wa Tawi jipya la chuo hicho , katika Kata ya Nyakabindi Halmashauri ya Mji wa Bariadi. Shukrani hizo zimetolewa na Kaimu Mwenyekiti wa  Baraza...

Thursday, May 24, 2018

RC MTAKA ASHAURI TFDA KUFUNGUA OFISI KATIKA MIKOA

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka ameishauri Mamlaka ya Chakula na Dawa hapa nchini (TFDA) kufungua Ofisi katika Mikoa ili kusogeza huduma karibu na wananchi na kuongeza ufanisi hususani katika kipindi hiki ambacho Serikali ya awamu ya Tano inahimiza utekelezaji wa ajenda ya Viwanda. Mtaka...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!