Thursday, October 31, 2019

NAIBU WAZIRI IKUPA APONGEZA UBUNIFU WA KAMBI ZA KITAALUMA SIMIYU

Na Stella Kalinga, Simiyu RS Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia masuala ya watu wenye ulemavu, Mhe. Stella Ikupa, amefunga rasmi kambi ya kitaaluma kwa wanafunzi wa kidato cha nne Mkoani Simiyu, ambapo amewapongeza viongozi wa mkoa wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo, Mhe....

Friday, October 25, 2019

WANANCHI ZAIDI YA 1000 WAPATIWA MSAADA WA KISHERIA MKOANI SIMIYU

Msajili wa Taasisi za watoa huduma za msaada wa kisheria kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Bi. Felistas Mushi amesema  takribani wananchi 1018  wamepata huduma ya msaada wa kisheria katika maadhimisho ya wiki ya msaada wa kisheria tangu Oktoba 21, 2019 mpaka Oktoba 25, 2019, yaliyofanyika...

Tuesday, October 22, 2019

MAVUNDE AWATAKA VIONGOZI KUWATUMIA WATOA MSAADA WA KISHERIA KUTATUA MATATIZO YA WANANCHI

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Anthony Mavunde amezindua rasmi Maadhimisho ya wiki ya msaada wa kisheria ambayo yanafanyika Kitaifa Mkoani Simiyu na kutoa wito kwa viongozi wa Serikali kuwatumia wasajili wasaidizi na watoa huduma za kisheria kutatua matatizo...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!