Na Stella Kalinga,
Simiyu RS
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu, anayeshughulikia masuala ya watu wenye ulemavu, Mhe. Stella Ikupa,
amefunga rasmi kambi ya kitaaluma kwa wanafunzi wa kidato cha nne Mkoani
Simiyu, ambapo amewapongeza viongozi wa mkoa wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo,
Mhe....
Thursday, October 31, 2019
Thursday, October 31, 2019
NAIBU WAZIRI IKUPA APONGEZA UBUNIFU WA KAMBI ZA KITAALUMA SIMIYU
Friday, October 25, 2019
Friday, October 25, 2019
WANANCHI ZAIDI YA 1000 WAPATIWA MSAADA WA KISHERIA MKOANI SIMIYU
Msajili
wa Taasisi za watoa huduma za msaada wa kisheria kutoka Wizara ya Katiba na
Sheria, Bi. Felistas Mushi amesema takribani wananchi 1018 wamepata huduma ya msaada wa kisheria katika
maadhimisho ya wiki ya msaada wa kisheria tangu Oktoba 21, 2019 mpaka Oktoba
25, 2019, yaliyofanyika...
Tuesday, October 22, 2019
Tuesday, October 22, 2019
MAVUNDE AWATAKA VIONGOZI KUWATUMIA WATOA MSAADA WA KISHERIA KUTATUA MATATIZO YA WANANCHI
Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Anthony
Mavunde amezindua rasmi Maadhimisho ya wiki ya msaada wa kisheria ambayo
yanafanyika Kitaifa
Mkoani
Simiyu na kutoa wito kwa viongozi wa Serikali kuwatumia wasajili wasaidizi na
watoa huduma za kisheria kutatua matatizo...