Saturday, August 29, 2020

WASTAAFU WAWAASA WATUMISHI WA UMMA KUMTANGULIZA MUNGU, KUWA WAADILIFU NA KUJITUMA

Wastaafu kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu wamewaasa watumishi wa umma kumtanguliza Mungu, kuwa waadilifu na kujituma ili waweze kutimiza wajibu wao sawa sawa kwa maslahi yao binafsi na Taifa kwa ujumla.  Hayo yamebainishwa na Bw. Elias Kasuka ambaye kwa sasa amestaafu utumishi wa umma akiwa...

SIMIYU YAAHIDI KUSHIRIKI KIKAMILIFU MAULIDI YA KITAIFA MWAKA 2020 MKOANI KAGERA

Mkoa wa Simiyu umeahidi kushiriki kikamilifu katika maandalizi ya Maulidi ya Kitaifa inayotarajia kufanyika Oktoba mkoani Kagera.  Kauli hiyo imetolewa na Katibu Tawala wa mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga Agosti 28, 2020 wakati akizungumza na baadhi ya viongozi wa BAKWATA wa Mikoa ya Simiyu na Kagera...

Thursday, August 27, 2020

SUA YAAHIDI KUSAIDIA KUANZISHA KITUO CHA KUPIMA KIFUA KIKUU KWA KUTUMIA PANYA SIMIYU

Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA) kimeahidi kuwa kiko tayari  kuanzisha kituo cha kupima  makohozi  kwa kutumia panya waliofundishwa kubaini vijidudu vya Ugonjwa wa Kifua Kikuu ambao wanaweza kupima sampuli nyingi kwa wakati mmoja ikilinganishwa na vipimo vya maabara. Hayo yamebainishwa...

KATAVI WAFANYA ZIARA SIMIYU KUJIFUNZA NAMNA YA KUFANYA MAONESHO YA NANENANE

Timu ya wataalam kutoka Mkoa wa Katavi imefanya ziara  Agosti 26, 2020 mkoani Simiyu kwa lengo la kujifunza namna kufanya Maonesho ya Kilimo na Sherehe za Wakulima (Nanenane) ambayo yamefanyika Kitaifa kwa miaka mitatu mfululizo (2018-2020) mkoani hapa. Akizungumza na wataalam hao Katibu Tawala...

DCP KADASHARI AFANYA ZIARA SIMIYU KUKAGUA UTAYARI WA POLISI

 Kaimu Kamishina wa Fedha na Logistiki wa Jeshi la Polisi ambaye pia ni mlezi wa mikoa ya Kipolisi ya Simiyu, Geita, Kagera, Mara, Mwanza na Tarime, Dhahiri Kidavashari amefanya ziara  Agosti 26, 2020 mkoani Simiyu. Katika ziara yake amekutana na viongozi na askari wa Jeshi la polisi Viongozi...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!