Wednesday, July 31, 2019

RAIS MAGUFULI KUZINDUA KAZI DATA YA WAKULIMA NANENANE KITAIFA SIMIYU: WAZIRI HASUNGA

Waziri wa Kilimo, Mhe.  Japhet Hasunga amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli Agosti 8, 2019 ,anatarajiwa kuzindua kanzi data ya usajili wa wakulima kupitia mazao nane ya kimkakati, itakayosaidia kujua idadi ya wakulima sambamba na wakulima  kujua takwimu...

Thursday, July 25, 2019

MAKAMU WA RAIS KUFUNGUA MAONESHO YA NANENANE KITAIFA 2019 MKOANI SIMIYU

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan anatarajia kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yatakayofanyika Kanda ya Ziwa Mashariki katika Viwanja vya Nyakabindi Mjini Bariadi kuanzia tarehe 29/07/2019 hadi 08/08/2019. Hayo...

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA 2019 YATABORESHWA ZAIDI YA MWAKA 2018: RC MARA

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mhe. Adam Malima amesema Mikoa ya Simiyu, Mara na Shinyanga inayounda Kanda ya Nanenane ya Ziwa Mashariki imekusudia kuboresha zaidi maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019  ambayo yanafanyika kwa mara ya pili sasa katika kanda hii kwenye Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Mkoani...

Sunday, July 21, 2019

NEC KUANZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JULAI 31, MKOANI SIMIYU

Tume ya Taifa ya Uchaguzi inatarajia kuanza rasmi zoezi la Uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura mkoani Simiyu kuanzia  Julai 31, 2019 hadi Agosti 06, 2019 ambapo zoezi hilo kitaifa  lilizinduliwa rasmi Julai 18, 2019. Akifungua mkutano wa wadau wa Uchaguzi mkoani Simiyu, Mwenyekiti...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!