Wednesday, August 29, 2018

RITA KUSAJILI NA KUTOA VYETI VYA KUZALIWA KWA ZAIDI YA WANAFUNZI 60,000 WILAYANI BARIADI

Wakala wa Usajili, Udhamini na Ufilisi (RITA) unatarajia kusajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa wanafunzi 60,000 wa shule za Msingi za Sekondari wilayani Bariadi mkoani Simiyu, kupitia Mpango wa Usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wa miaka 06 hadi 18. Hayo yamebainishwa na Kaimu Afisa...

Monday, August 27, 2018

DARASA LA SABA SIMIYU WAOMBA WASIMAMIZI WENYE TABIA YA KUWATISHA WATAHINIWA WAACHE

Wanafunzi wa darasa la saba shule za msingi za Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu wamemuomba Mkuu wa Mkoa, Mhe Anthony Mtaka, kuwataka  wasimamizi wa Mtihani wa Taifa wenye tabia ya kuwatisha wanafunzi wakiwa katika chumba cha mtihani waache tabia hiyo ili wanafunzi wafanye Mtihani...

Tuesday, August 21, 2018

HALMASHAURI ZAKARIBISHA WAWEKEZAJI KWENYE VIWANJA VINAVYOPIMWA MKOANI SIMIYU

Halmashauri ya Mji wa Bariadi, Halmashauri ya Wilaya ya Busega na Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu zinawakaribisha wawekezaji na wafanyabiashara kuwekeza kwenye jumla ya viwanja 3758 vilivyopimwa na vinavyotarajiwa kupimwa kwa nyakati tofauti. Hayo yamebainishwa na Viongozi wa Halmashauri...

SIMIYU YAJIPANGA KUUFANYA MRADI WA UMWAGILIAJI MWASUBUYA KUWA WA MFANO, KUBADILISHA MAISHA YA WANANCHI

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amesema Serikali mkoani humo imedhamiria kuutumia Mradi wa Uwagiliaji wa Mwasubuya kubadilisha maisha ya wananchi wilayani Bariadi, kupitia kilimo cha kisasa kinachotumia zana za kisasa na kuufanya kuwa mradi wa mfano ambao watu wateanda kujifunza. Mtaka...

RC MTAKA AKABIDHI MWENGE WA UHURU MKOANI SHINYANGA

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka amemkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Zainab Taleck  na kumhakikishia Kiongozi wa Mbio za  Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2018 Ndg. Charles Kabeho  kuwa atachukua hatua dhidi ya mapungufu yaliyobainika wakati Mwenge wa Uhuru...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!