Saturday, September 29, 2018

SERIKALI MKOANI SIMIYU YAJIPANGA KUDHIBITI ONGEZEKO LA VIFO VYA AKINA MAMA WAJAWAZITO

Mkoa wa Simiyu utahakikisha vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga vinapungua kwa kuwa Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imewekeza na kutumia gharama kubwa katika kuandaa wataalam(wakunga) wenye jukumu la kuhakikisha wanatoa huduma zitakazotoa majibu sahihi ya utatuzi wa changamoto...

SIMIYU YADHAMIRIA KUWAKOMBOA WAFUGAJI KWA KUWASAIDIA WAFUGE KISASA

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.  Anthony Mtaka amewataka wataalamu wa mifugo na kilimo kuachana na utamaduni wa kufanya kazi kwa mazoea huku akiwataka kuongeza ubunifu sambamba na kupanua wigo wa kutoa elimu kwa wafugaji ili kuongeza ufanisi katika sekta hiyo ambayo ni ya pili katika kuchangia pato...

Friday, September 28, 2018

RC MTAKA APONGEZA GEITA KWA UBUNIFU KUFANYA MAONESHO YA KIPEKEE YA DHAHABU NCHINI

Mkuu wa Mkoa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amewapongeza viongozi wa Mkoa wa Geita wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo, Mhandisi. Robert  Gabriel kwa ubunifu waliofanya wa kufanya Maonesho ya Kipekee ya Teknolojia Bora ya  dhahabu hapa nchini. Mtaka ameyasema hayo mara baada ya kuzungumza na...

Tuesday, September 25, 2018

VIFO VYA WATOTO WACHANGA VYAPUNGUA SIMIYU

Vifo vya Watoto Wachanga mkoani Simiyu vimepungua kutokana na Serikali kutoa elimu ya uzazi na wazazi kuanza kujifungulia katika vituo vya kutolea huduma ya afya. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye semina ya Mkunga Okoa Maisha iliyofanyika mwishoni mwa wiki jana mjini Bariadi, Katibu wa Wakunga...

Saturday, September 22, 2018

RC MTAKA, ASKOFU KANISA LA SDA WATOA SALAMU ZA POLE KUFUATIA AJALI YA MV NYERERE

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka na Askofu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Kusini mwa Tanzania, Mark Malekana,wametoa salamu za pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. John Mongela, wananchi wa Mwanza pamoja...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!